tangazo
tangazo
Baraza la Mitihani Tanzania (Necta) kesho Alhamisi Januari 24, 2019 litatangaza matokeo ya mtihani wa kidato cha nne mwaka 2018.
UPDATE:
Shule ya St. Francis ya Mbeya yaongoza kitaifa
>>> Ufaulu kwa mwaka 2018 umeongezeka kwa asilimia 1.29 kutoka asilimia 77.09 mwaka 2017 hadi asilimia 78.38.
>>> Mwanafunzi Hope Mwaibanje kutoka Shule ya Sekondari Ilboru ya Arusha ameongoza kwa ufaulu matokeo ya kidato cha nne
>>> Baraza limewafutia matokeo watahiniwa 252 wa kidato cha nne kutokana na udanganyifu, 71 wakiwa ni wa kujitegemea
>>> Wanafunzi 351 kutika shule ya sekondari St Mathew na St Marcus wamezuiliwa matokeo yao kutokana na udanganyifu na matokeo hayo yatatolewa pindi NECTA itakapojiridhisha
Matokeo ni haya hapa:CSEE
LINK 1LINK 2MATOKEO YA MTIHANI WA MAARIFA (QT) 2018 Link 1MATOKEO YA MTIHANI WA MAARIFA (QT) 2018 Link 2
tangazo
Emoticon Emoticon