'#'

BREAKING NEWS: MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2018 HAYA HAPA

tangazo
tangazo
Baraza la Mitihani Tanzania (Necta) kesho Alhamisi Januari 24, 2019 litatangaza matokeo ya mtihani wa kidato cha nne mwaka 2018.

UPDATE:

Shule ya St. Francis ya Mbeya yaongoza kitaifa
>>> Ufaulu kwa mwaka 2018 umeongezeka kwa asilimia 1.29 kutoka asilimia 77.09 mwaka 2017 hadi asilimia 78.38.

>>> Mwanafunzi Hope Mwaibanje kutoka Shule ya Sekondari Ilboru ya Arusha ameongoza kwa ufaulu matokeo ya kidato cha nne

>>> Baraza limewafutia matokeo watahiniwa 252 wa kidato cha nne kutokana na udanganyifu, 71 wakiwa ni wa kujitegemea

>>> Wanafunzi 351 kutika shule ya sekondari St Mathew na St Marcus wamezuiliwa matokeo yao kutokana na udanganyifu na matokeo hayo yatatolewa pindi NECTA itakapojiridhisha

Matokeo ni haya hapa:

CSEE
LINK 1

LINK 2

MATOKEO YA MTIHANI WA MAARIFA (QT) 2018 Link 1

MATOKEO YA MTIHANI WA MAARIFA (QT) 2018 Link 2
tangazo


Emoticon Emoticon

Copyright © 2017 TANZANITEONLINE - Thank . You For . Visting .